ABDULAKRIM KISWANYA MITANO AZAM FC
Chipukizi wa ajabu kutoka akademi, Abdulkarim Kiswanya (20), amesaini mkataba wake wa kwanza na timu kubwa utakaomuweka Azam FC hadi 2030. Kiswanya aliyejiunga na akademi ya Azam FC Aprili 2021 akianzia timu ya chini ya miaka 17, amekuwa sehemu muhimu ya timu za vijana kwenye mashindano mbalimbali. Azam FC ilimuona Kiswanya kupitia mashindano ya Kombe […]
ASHRAF KIBEKU ASAINI MIAKA MITANO
Beki chipukizi kutoka akademi mwenye uwezo mkubwa wa kupanda na kushuka, Ashraf Kibeku, amesaini miaka mitano na timu kubwa ya Azam FC na kujifunga kuwa Chamazi hadi mwaka 2030. Ashraf alijiunga na akademi ya Azam FC mwaka 2018 akianzia timu ya chini ya miaka 13, na kupanda kidogo kidogo hadi sasa mesaini timu kubwa. Safari […]
AZAM FC 3-1 JKT Tanzania
AZAM FC 3-1 JKT: TUMEFUNGA MWAKA KIBABE Azam FC imeufunga mwala 2024 kwa ushindi mnono wa mabao 3-1 dhidi ya timu ngumu ya JKT Tanzania. Ikiwa nyumbani, Azam Complex, Azam FC ilijikuta ikitanguliwa kwa bao la mapema la dakika ya 13 kwa mkwaju wa adhabu ndogo wa Said Khamis Ndemla. Lakini mnamo dakika ya 36, […]
AZAM FC KUJIPIMA NA MAFUNZO YA ZANZIBAR
Katika kuendelea kujiweka sawa kabla ya kurejea kwa ligi kuu, Azam FC itakuwa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Mafunzo ya Zanzibar dimbani Azam Complex, Januari 31, 2025, saa moja kamili usiku. Akiongea na tovuti hii, meneja wa Azam FC Rashid Said Mgunya, amesema mchezo huo ambao ni wa mwisho kabla ya kuwavaa KMC katika […]
Azam FC and AIK Football Forge Five-Year Partnership
Azam FC and AIK Football Club from Sweden have signed a five-year partnership agreement. The agreement, which will last until 2029, aims to provide opportunities for players from Azam FC’s talent development center to train and be developed at AIK Football’s talent development center in Sweden. The agreement, made in Stockholm, Sweden, will allow Azam […]
Back to the Grind!
Azam FC is back in training, focused and determined to prepare for the upcoming challenges. The team is working hard on the pitch, sharpening their skills, and perfecting strategies for the next games. We’re committed to bringing our best performance and making our fans proud! ⚽️ Stay tuned and keep supporting us as we aim […]
AZAM FC 0️⃣ – 0️⃣ JKT TANZANIA
In a fiercely contested match, Azam FC and JKT Tanzania battled it out to a goalless draw. Despite several opportunities on both sides, the match ended 0-0. A solid defensive performance from our boys kept a clean sheet, but the goals were elusive tonight. We’ll regroup and come back stronger in the next match! Thank […]
Azam FC Triumphs in First Leg of CAF Champions League
In an electrifying home match, Azam FC secured a pivotal victory in the first leg of the CAF Champions League first round. The decisive moment came in the 55th minute when Blanco calmly converted a penalty awarded after Feisal was fouled in the box. The team’s performance was a testament to their skill and determination, […]
APR FC vs. Azam FC: CAF Champions League 2024
Dar es Salaam – The stage is set for an exhilarating start to the CAF Champions League 2024, as APR FC from Rwanda prepares to face off against Azam FC from Tanzania in the first round qualification match. This highly anticipated fixture is poised to showcase some of the best football talent in the region […]
Community Shield Showdown!
Get ready for the ultimate clash! AZAM FC will face off against our fierce rivals Yanga in the Community Shield Final! 🏆⚽ 📅 Date: 11/08/2024 📍 Venue: Benjamin Mkapa Stadium. This is more than just a game—it’s a battle for pride and glory. Let’s come together and support our team to victory! Wear your colors, […]