Breaking news
  1. AZAM FC U-17 HAWAKATIKI LIGI YA TFF
  2. TULICHEZA CHINI YA KIWANGO – KALI
  3. WAFAHAMU WAUAJI WA NANGWANDA
  4. TULIKUWA NYUMBANI
  5. TULIWADHIBITI SIMBA PEMBENI – KALI

Slide 03 Edinho kwa mkopo Stella Abidjan TUNAPENDA kuufahamisha umma kuwa, tumemtoa kwa mkopo wa miezi sita kiungo wetu mshambuliaji, Tape Edinho, kwenda klabu ya Stella Abidjan ya kwao Ivory Coast. Learn more Slide 02 MATCH REPORT: Azam FC 1-0 Ihefu KLABU ya Azam imeendeleza wimbi la kuzoa pointi tatu, baada ya kuishushia dozi ya bao 1-0 Ihefu, katika mwendelezo wa mechi za Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara (NBC PL). Learn more Slide 01 Mmiliki Azam FC akutana na wachezaji MMILIKI wa klabu ya Azam, Yusuf Bakhresa, leo Jumamosi mchana amekutana na wachezaji, benchi la ufundi na viongozi wa timu hiyo na kupata nao chakula cha mchana mara baada ya ushindi muhimu kwenye ‘Mzizima Derby’ dhidi ya Simba. Learn more Slide 03 Lavagne asitishiwa mkataba Azam FC BODI ya klabu ya Azam imesitisha mkataba na Denis Lavagne, kama kocha mkuu, kuanzia leo, Oktoba 22, 2022. Learn more

Players

Our news

AZAM FC U-17 HAWAKATIKI LIGI YA TFF

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya vijana chini ya miaka 17, Azam FC, wameendeleza ubabe wao kwa ushindi wa nne mfululizo msimu huu baada ya kuichapa Ruvu Shooting mabao 4-1 kwenye viwanja vya kituo cha maendeleo ya ufundi cha TFF Kigamboni jijini Dar Es Salaam. Azam FC iliuanza mchezo huo kwa kasi ikitafuta mabao ya…

TULICHEZA CHINI YA KIWANGO – KALI

Kufuatia kipigo cha kushtukiza cha 2-1 kutoka Namungo FC kwenye uwanja wa nyumbani, kocha Kali Ongala amesema ameumizwa na matokeo lakini zaidi kiwango cha chini cha timu nzima kwa ujumla. Akiongea na azamfc.com baada ya mchezo huo, kocha Kali amesema kiwango cha kujituma, nidhamu ya kimbinu na kufuata maelekezo vilikuwa chini sana kutoka kwa wachezaji…

WAFAHAMU WAUAJI WA NANGWANDA

Lusajo Mwaikenda na Prince Dube ndiyo wachezaji waliotufungia mabao yetu muhimu kwenye mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports dhidi ya Simba SC dimbani Nangwanda Sijaona mjini Mtwara. Mabao hayo yakatuvusha hadi fainali ya mashindano hayo na kutufanya tufikie hatua hiyo kwa mara ya tatu katika historia ya miaka 8 ya…

TULIKUWA NYUMBANI

wachezaji watatu wa Azam FC walioanza na kumaliza mchezo wa nusu fainali ya Kombe la shirikisho la Azam Sports dhidi ya Simba, Abdallah Heri ‘Sebo’, Abdul Hamis Suleiman Sopu na Sospeter Bajana, wamesema waliufurahia mchezo huo kwa sababu walicheza kwenye mazingira waliyoyazoea. Katika vipindi tofauti vya maendeleo ya soka lao, wachezaji hawa waliitumikia timu ya…

Latest Results

Azam Complex, May 28, 2023
Azam FC
vs
Polisi Tanzania FC
Mkwakwani Stadium, May 24, 2023
Azam Complex, May 13, 2023
Azam FC
vs
Namungo FC

Latest Tweets

TRAVEL WITH THE TEAM
TO AN AWAY GAME

Polaroid squid flannel chillwave roof party prism green juice schlitz meditation vexillologist post-ironic hella umami cray.