Polaroid squid flannel chillwave roof party prism green juice schlitz meditation vexillologist post-ironic hella umami cray.








Players
Our news

AZAM FC U-17 HAWAKATIKI LIGI YA TFF
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya vijana chini ya miaka 17, Azam FC, wameendeleza ubabe wao kwa ushindi wa nne mfululizo msimu huu baada ya kuichapa Ruvu Shooting mabao 4-1 kwenye viwanja vya kituo cha maendeleo ya ufundi cha TFF Kigamboni jijini Dar Es Salaam. Azam FC iliuanza mchezo huo kwa kasi ikitafuta mabao ya…

TULICHEZA CHINI YA KIWANGO – KALI
Kufuatia kipigo cha kushtukiza cha 2-1 kutoka Namungo FC kwenye uwanja wa nyumbani, kocha Kali Ongala amesema ameumizwa na matokeo lakini zaidi kiwango cha chini cha timu nzima kwa ujumla. Akiongea na azamfc.com baada ya mchezo huo, kocha Kali amesema kiwango cha kujituma, nidhamu ya kimbinu na kufuata maelekezo vilikuwa chini sana kutoka kwa wachezaji…

WAFAHAMU WAUAJI WA NANGWANDA
Lusajo Mwaikenda na Prince Dube ndiyo wachezaji waliotufungia mabao yetu muhimu kwenye mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports dhidi ya Simba SC dimbani Nangwanda Sijaona mjini Mtwara. Mabao hayo yakatuvusha hadi fainali ya mashindano hayo na kutufanya tufikie hatua hiyo kwa mara ya tatu katika historia ya miaka 8 ya…

TULIKUWA NYUMBANI
wachezaji watatu wa Azam FC walioanza na kumaliza mchezo wa nusu fainali ya Kombe la shirikisho la Azam Sports dhidi ya Simba, Abdallah Heri ‘Sebo’, Abdul Hamis Suleiman Sopu na Sospeter Bajana, wamesema waliufurahia mchezo huo kwa sababu walicheza kwenye mazingira waliyoyazoea. Katika vipindi tofauti vya maendeleo ya soka lao, wachezaji hawa waliitumikia timu ya…
Latest Results




Recent videos on YouTube

Azam Fc Yatinga Fainali Ya Fa Cup Kibabe

Tpl Round 20 | Mbeya City 0-1 Azam Fc

Azam Fc Player Profile | Mudathir Yahya
Latest Tweets
What Fans Are Saying
Awards




