AZAM FC 3-1 JKT Tanzania

AZAM FC 3-1 JKT: TUMEFUNGA MWAKA KIBABE Azam FC imeufunga mwala 2024 kwa ushindi mnono wa mabao 3-1 dhidi ya timu ngumu ya JKT Tanzania. Ikiwa nyumbani, Azam Complex, Azam FC ilijikuta ikitanguliwa kwa bao la mapema la dakika ya 13 kwa mkwaju wa adhabu ndogo wa Said Khamis Ndemla. Lakini mnamo dakika ya 36, […]

AZAM FC KUJIPIMA NA MAFUNZO YA ZANZIBAR

Katika kuendelea kujiweka sawa kabla ya kurejea kwa ligi kuu, Azam FC itakuwa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Mafunzo ya Zanzibar dimbani Azam Complex, Januari 31, 2025, saa moja kamili usiku. Akiongea na tovuti hii, meneja wa Azam FC Rashid Said Mgunya, amesema mchezo huo ambao ni wa mwisho kabla ya kuwavaa KMC katika […]