KIPA namba moja wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Aishi Manula, usiku wa kuamkia leo amefanikiwa kutwaa Tuzo ya Kipa Bora wa msimu huu (2016/17).
Mbali na kipa huyo kutwaa hiyo, pia ameingia kwenye kikosi bora cha msimu...
KIPA namba moja wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Aishi Manula, usiku wa kuamkia leo amefanikiwa kutwaa Tuzo ya Kipa Bora wa msimu huu (2016/17).
Mbali na kipa huyo kutwaa hiyo, pia ameingia kwenye kikosi bora cha msimu...
WINGA wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, aliyeko kwa mkopo kwenye timu ya CD Tenerife ya Hispania, Farid Mussa, tayari amemaliza msimu akiwa katika timu ya vijana huku mambo yakionekana kumwendea vema baada ya kufanya vizuri....
WADHAMINI wakuu wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Benki ya NMB leo ilifanya ziara katika makao makuu ya timu hiyo ‘Azam Complex’.
Ziara hiyo ilikuwa na malengo makuu mawili, la kwanza ilikuwa ni kuwakutanisha mashabiki...
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, leo asubuhi ilifanya ziara kwa wadhamini wake wakuu Benki ya NMB, ambayo imeonyesha kuridhishwa na udhamini wake kwa mabingwa hao.
Azam FC imetumia ziara hiyo kujifunza mambo mbalimbali...
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, inapenda kutuma salamu za rambirambi kwa uongozi wa klabu ya Kagera Sugar baada ya kufariki dunia kwa kipa wao, David Buruani, usiku wa kuamkia leo.
Kwa mujibu wa taarifa za awali, Buruani...
KITUO cha kukuza vipaji cha Green Sports Academy kutoka jijini Nairobi, Kenya kinatarajia kufanya ziara maalumu kwenye makao makuu ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC.
Ziara hiyo ya siku sita itakayoambatana na mechi za...