WINGA wa kushoto wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Farid Mussa, anatarajia kuondoka nchini kesho Jumatano saa 5.00 usiku kuelekea nchini Hispania kujiunga na timu ya Deportivo Tenerife ya huko.
Farid anaondoka kujiunga...
WINGA wa kushoto wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Farid Mussa, anatarajia kuondoka nchini kesho Jumatano saa 5.00 usiku kuelekea nchini Hispania kujiunga na timu ya Deportivo Tenerife ya huko.
Farid anaondoka kujiunga...
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imelazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Majimaji kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) uliofanyika Uwanja wa Majimaji, mjini Songea, Ruvuma.
Azam FC iliyofanikiwa kucheza...
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, kesho Jumamosi saa 10.00 jioni inatarajia kushuka dimbani kuwania pointi tatu muhimu mbele ya wenyeji wao, Majimaji, mchezo utakaofanyika Uwanja wa Majimaji, mjini Songea, Ruvuma.
Azam FC...
BAADA ya kuiona ratiba ya Kombe la Shirikisho Afrika mwakani iliyotoka juzi jioni, Kocha Mkuu wa Azam FC, Zeben Hernandez, ameweka wazi kuwa amekipanga kikozi chake kufika mbali zaidi kwenye michuano hiyo.
Kwa mujibu wa droo hiyo, Azam FC...
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limepanga droo ya Kombe la Shirikisho Afrika (CC), inayoonyesha kuwa Azam FC inaanza kufungua dimba la michuano hiyo kwa kucheza raundi ya kwanza.
Hii ni mara ya pili mfululizo kwa Azam FC kupangwa kuanzia...
WAKATI kikosi cha Azam FC kikiwa safarini hivi sasa kuelekea mkoani Ruvuma kukabiliana na Majimaji, habari njema ni kuwa hadi kufikia leo jioni Jumatano kinatarajia kujua mpinzani atakayepangwa naye kwenye kinyang’anyiro cha kuwania taji la...
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, leo asubuhi imeanza rasmi maandalizi ya kuikabili Majimaji katika mchezo ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) utakaofanyika Uwanja wa Majimaji, mjini Songea, Ruvuma Jumamosi hii.
...KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imepangwa Kundi B kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi, inayotarajia kufanyika ndani ya Uwanja wa Amaan, Visiwani Zanzibar kuanzia Desemba 30 hadi Januari 13 mwakani.
Azam FC ambayo...