KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imefanya kweli baada ya kuidungua Mwadui bao 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) uliomalizika Uwanja wa Azam Complex usiku huu.
Ushindi huo unaifanya Azam FC...
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imefanya kweli baada ya kuidungua Mwadui bao 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) uliomalizika Uwanja wa Azam Complex usiku huu.
Ushindi huo unaifanya Azam FC...
IKIWA katika morali nzuri kabisa, Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, itakuwa kwenye vita kali ya kuhakikisha inavuna pointi tatu muhimu pale itakapokuwa ikikabiliana na Mwadui kesho Alhamisi saa 1.00 usiku.
Azam FC...
NYOTA watatu wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Nahodha Msaidizi Agrey Moris, kiungo Salmin Hoza na mshambuliaji Yahya Zayd, wamechaguliwa kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa timu hiyo (NMB Player Of The Month) mwezi Januari-...
BAADA ya kuonyesha uwezo mkubwa kwenye mchezo dhidi ya Singida United, Kocha Msaidizi wa Azam FC, Idd Nassor Cheche, ameweka wazi kuwa hali ya kutokata tamaa mazoezini na uzoefu ndivyo vilivyomng’arisha kipa Mwadini Ally kwenye mtanange huo....
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, imezidi kufanya kweli baada ya kuichapa Singida United bao 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) uliomalizika Uwanja wa Azam Complex usiku huu.
Matokeo hayo...
KAMATI ya Bodi ya Ligi ya Uendeshaji na Usimamizi ya Ligi imemsimamisha kipa wa Azam FC, Razak Abalora hadi suala lake litakapotolewa uamuzi na Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Kwa mujibu wa barua kutoka bodi hiyo...