KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, jioni ya leo imefanya kweli baada ya kuidungua Esperance ya Tunisia mabao 2-1 katika mchezo wa raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika uliofanyika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, jijini Dar...
First Team
Latest News
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, kesho Jumapili itarusha karata yake ya kwanza muhimu kwenye raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika, pale itakapowakaribisha Esperance ya Tunisia katika Uwanja wa Azam Complex, jijini Dar es...
MSHAMBULIAJI wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Kipre Tchetche, ameingia kwenye orodha ya wachezaji wanne wanaofukuzia ufungaji bora wa michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika mwaka huu.
Tchetche ameingia kwenye orodha...
UKIACHILIA mbali malalamiko ya waamuzi, Kocha Mkuu wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Stewart Hall, amesema kuwa wameporwa ushindi na Ndanda jana baada ya wachezaji kushindwa kutimiza ipasavyo majukumu yao uwanjani.
Azam...
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, imelazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Ndanda ya Mtwara, mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) uliofanyika Uwanja wa Azam Complex jana jioni.
Hiyo ni sare ya pili mfululizo...
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, inatarajia kushuka dimbani kesho saa 10.30 jioni kuikaribisha Ndanda katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) utakaofanyika kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam....
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limeweka hadharani waamuzi watakaochezesha mechi mbili za raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC na Esperance de Tunis.
Kwa mujibu wa ripoti...
KOCHA Mkuu wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Stewart Hall, amesema kuwa mwamuzi wa mchezo wao wa jana dhidi ya Toto Africans, alitakiwa kuahirisha mechi hiyo ndani ya dakika 20 za mwanzo kutokana na mvua kubwa iliyonyesha...